*UKWELI KUHUSU KUNYWA POMBE!*
_By Mwl Proo_
0718922662/0762879363
KUNYWA POMBE NI DHAMBI KWA WATU MUNGU,HAKUNA UTETEZI WOWOTE WA KIBIBLIA. JAMBO LA KWANZA LUGHA YA KISWAHILI HAIKUWA NA MANENO YA KUTOSHA KUTAJA AINA ZOTE ZA DIVAI/MVINYO/VILEO. KTK ULIMWENGU WA ULE WA ZAMA ZA BIBLIA HUSUSANI UYAHUDI NA UYUNANI,WALIKUWA NA MANENO TOFAUTI KUTOFAUTISHA KINYWAJI HUSUKIA TOKA KWENYE ZAO LA ZABIBU. NI KAMA AMBAVYO CRUDE OIL IKIPITIA REFINING PROCESS HUTOA PETROL,DIESEL,KEROSENE ETC VIVYO HIVYO ZAO LA ZABIBU HUTOA DIVAI KILEO,DIVAI PURE JUICE,DIVAI DAWA ,ZABIBU KAVU ETC
*HAYA NI MAJINA YANAYO TOFAUTISHA AINA HIZO KAMA YANAVYOONEKANA KWENYE HEBREW BIBLE(TANAKH) NA GREEK BIBLE(SEPTUAGINT)*
1.Yayin(fermented/unfermented(
2.Tirosh (fresh juice )
3.Shekar (Strong drink/oinos)
4.Asis-(Isay 49:26,Yoel 1:5,Amo 9:13)
5.Ashishah
6.Chemer-foaming juice(all kinds of wine Isaya 27:2)
7.Chamar- fermented wine(Ezra 6:9,Dan 5:1-4)
8.Sobe -Mvinyo iliyochemshwa
9.Shemer-Mvinyo ya mabaki yaliyohifadhiwa
10.Nasek-Mvinyo iliyotolewa dhabihu
11.Mimsak-Divai iliyochanganywa(Isa 65:11)
12.Enab- (Hosea 3:1)
13.Chomet-Siki (vinegar)
KATIKA HIZI ZIPO AMBAZO NI DAWA ZA KUPAKA VIDONDA, TUYATAZAME HAYA MAANDIKO FROM OJB
PROV (Mithali) 31:6
|6| Give strong drink unto him that is ready to perish, and yayin unto those that be of bitter nefesh.
JH (Yohana) 2:10
|10| And the Rosh HaMesibba says to him, Everyone sets out the yayin hatov first, and when they have become drunk, he sets out the inferior; you have kept the yayin hatov until now. |11| This was the reshit
1TIM 5:23
|23| No longer drink only mayim, but use a little yayin because of your stomach and your frequent illnesses.
DIVAI ILIYOKUWA NI JUICE PURE NA HALALI KUNYWEWA BILA SHARTI NI TIROSH,INGAWA YAYIN NDIYO ILIKUWA THE MOST COMMON DIVAI. SASA HATUNA BUDI KUJUI DIVAI WAS A CUSTOMARY ACCEPTED DRINK, IT WAS COMMON FOR ITS RESTORATIVE AND REMEDIAL PURPOSES, NDIO MAANA HATA HUU MSTARI WA MITHALI 31:6.ULIKUWA UNAJADILI KUWAPA KILEO WALIO KARIBU NA KUPOTEA,WATU AMBAO WALIKUWA EITHER WAMEPIGWA KWA MAWE AU WAMEKUTA NA HATARI NA WAPO KATIKA MAUMIVU KARIBU NA KUFA, WANAWAKE WALIKUWA NA TABIA YA KUWANYWESHA DIVAI HUSUSANI CHOMETS/AU SHEKARI KILEO CHENYE NGUVU,ILI WAPOTEZE FAHAMU WASISIKIE SANA YALE MAUMIVU HADI WANAPOKATA ROHO. INGAWA TUNAKUMBUKA MUNGU ALIWAKINGA WATU KADHAA WALE ALIOWATENGA KWA KUSUDI LAKE, MAKUHANI ETC,BILA SHAKA UNAKUMBUKA MKE WA MANOA AND ALL SUIT-STORIES.
SASA LET ME CLEAR A DOUBT ON TIMOTHY. HUYU MCHUNGAJI TIMOTHEO ALIISHI KTK MJI WA EFESO, THE WATER OF THE CITY YALIKUWA SALTY AND HARD.WENGI HAWAKUWA WANAPENDELEA KUNYWA MAJI AKIWEMO TIMOTHEO, SASA KWA KUWA WATU WALIKAA HATA JUMA ZIMA BILA KUNYWA MAJI, WENGI WALIPATA SHIDA YA MATUMBO KATIKA MMENG'ENYO (CONSTIPATION), TIMOTHEO SUFFERED THE SAME. SASA PAULO ALIKUWA ANASHAURI "WATER THERAPY", AMBAPO WATU WALICHUKUA MAJI NA KUYACHANGANYA NA YAYINI KIDOGO ILI YAWE NA TASTE UWEZE KUNYWA. THE REASON BEHIND WAS NOT ULEVI, INGAWA BADO MSIMAMO WA MWISHO KUHUSU KILEVI NI "USIGUSE,USISHIKE,USIONJE" KOLOSAI 2:21
TUTAKUWA WAJINGA KAMA TUTALAZIMISHA UKRISTO WETU TUUFANANISHE NA ULIMWENGU WA KALE WA UJINGA (MATENDO 17:30) AMBAPO MUNGU HAKUWA AMEJIFUNUA KWA UKAMILIFU, WE ARE LIVING AT THE MAXIMUM REVELATION ERA
*_🍺🍻gonga tuu kama hupendi mbingu_*
alltruth5ministries@gmail.com
Ningependa kumpendekeza mmoja wa wazimu wanaoheshimika zaidi wa wakati wetu. Ni mtu ambaye amewasaidia watu wengi jijini wakati wa hali ngumu.
ReplyDeleteBaadhi ya watu hata humwita "mungu mdogo" kwa sababu ya uwezo wake mkubwa wa kiroho na jinsi anavyowasaidia wale wanaomjia kwa ajili ya mwongozo.
Unaweza kumtumia ujumbe kwenye WhatsApp: +2349046229159
Barua pepe wightmagicmaster@gmail.com
Tafadhali zungumza naye kwa heshima na ueleze hali yako wazi, naye atajitahidi kukusaidia.
Anatoa mwongozo wa kiroho na usaidizi kwa hali tofauti, ikiwa ni pamoja na:
• Masuala ya mapenzi na uhusiano, ikiwa ni pamoja na kusaidia kuungana tena na mpenzi wa zamani.
• Kurejesha ndoa na mahusiano yenye matatizo.
• Maombi na mila za kiroho kwa ajili ya ulinzi na mafanikio.
• Tiba za mitishamba za kuponya VVU, saratani, malengelenge.
• Maombi ya uzazi na usaidizi wa kiroho kwa wanandoa wanaotaka kupata mimba katika wiki chache.
• Uwezo wa Telekinesis. Uwezo wa kubadilisha umbo.
• Tambiko na maombi ya utajiri wa papo hapo.
• Msaada wa kiroho katika hali ngumu kama vile kesi za mahakamani, kurejesha mali iliyopotea, na changamoto zingine za maisha.
Watu wengi wamepokea msaada na mwongozo kupitia kazi yake ya kiroho.